Home » Archives for 11/14/12
WALICHO SEMA MARAFIKI WA LULU OSCAR BAADA YA KIFO CHAKE
12:37 PM
•
Unajua
Binadamu tunahitaji FURAHA siku Zoote za UHAI na Maisha yetu Hapa
Duniani, JapokuwaWakati Mwinginehatuwezi KUIEPUKA HUZUNI. Nakumbuka
LIFESTYLE ya pale Chuoni Royal College Alikuwa Mcheshi, Mzungumzaji,
Anayependa Watu, Aliyependa Kujichanganya na Watu wa Jinsi zote! Pole
zangu Kwa Wanafunzi woote Wa Cha Royal College of Tanzania (RCT), Ndugu Jamaa na Familia ya Lulu Oscar
We Will Miss U Ever! — with Iddy Harnaa Mkwama and 21 others.
We Will Miss U Ever! — with Iddy Harnaa Mkwama and 21 others.
Like · · Share · Yesterday at 1:15pm ·
- 11 people like this.
- Happy Severine Du Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema, peponi, my loving one nakukumbuka sana tukiwa pale Royal, ila Mungu amekupenda sana kuliko sisi, pumzika kwa amani
- Sina la kuongea jamani ila ni rafiki wa muda mrefu sana na tumepitia mengi kwa pamoja.tumeishi nyumba moja na kufanya kazi pamoja..bado siamini kama umeondoka,gone too soon Lulu Oscar dear!! Inallilah wainailah rajiun..
- Rutinwa Kainami likes this.
- Nora Rowland Jamani huyu dada apumzike kwa amani I met her once akiwa na rafiki yangu mwenge then tukashinda wote mwenge I just knew her name alikua na utani we laughed all day...apumzike kwa amani
- lulu i will always remember u my frend,ila mungu amekupenda zaidi,R.I.P lulu oscar,roho imeniuma sana kuondoka kwako sema sina cha kufanya bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
MAZISHI YA MARIAMU KHAMIS
8:42 AM
•
Baadhi ya Wasanii,Ndugu,na wapenzi wa muziki wa Taarab hapa nchini
wamejumuika pamoja katika safari ya kupumzisha mwili wa aliyekuwa msanii
wa kundi la TOT marehemu Mariam Khasim katika nyumba yake ya
milele.Maria Khasim alifariki wakati akijifungua Muhimbili na mtoto
kutoka salama.Baadhi ya wasanii walikuwepo kwenye mazishi baadhi yao ni
Khadija Kopa, Isha Mashauzi, Mzee Yusuph na mke wake Bi Leila,Nyota
Waziri, Bi Hindu na wasanii wenzake wa kundi la TOT
Msanii nyota wa muziki wa Taarab hapa nchini Khadija Kopa mwenye kitambaa Chekundu akiwa pamoja na waombolezaji wengine
Inasemekana huyo alikuwa ni rafiki mkubwa sana wa Marehemu, ni msanii mwenzake wa TOT anaitwa Mwasiti
Mwasiti akiwa na uchungu wa kumpoteza rafiki yake
Mtangazaji wa kipindi cha taarabu East Africa Radio Mwamfuo akiwa na mtangazaji wa Capital Radio Hawa
Waombolezaji
Isha Mishuzi
Mzee Yusuph akiwa na mke wake Bi Leila na waombolezaji wengine
Mtangazaji wa Taarabu wa Times Fm
Msanii Nyota Waziri naye alikuwepo
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Mariam likiingia
Saigon amchana Rick Ross na wasanii wakubwa wa Hip Hop kwa kuwaaharibu watoto!
8:15 AM
•
Rapper mkongwe kwenye ulimwengu wa Hip
Hop Saigon (wa marekani sio wa TZ) amejitokeza tena na kumchana Rick
Ross na wasanii wengine wakubwa wanaofanya Hip Hop kwa kile anachodai
wanaharibu maadili ya kizazi hiki hasa watoto ambao wanasikiliza sana
kile wanachokiimba kwenye nyimbo zao.
Saigon ambae miezi kadhaa iliyopita
aliwahi kumchana Rossay kivingine amerudi tena na kuongeza idadi ya
anaowachana na sasa hii inaenda kwa wasanii wote wa Hip Hop wanaohusika
na anachokisema.
“Hii iko nyuma yangu mimi, unajua nini,
kama hawatabadili ujumbe, kwa kweli, ntakuwa katika beef nzima na mpya,
nani ambae ntampuch sasa hivi? Rick Ross.” Alianza kufunguka Sai,
“nataka kumpunch kila mtu, man. Rick Ross, 2Chainz, kila mtu ambae
anaefanya muziki unayowadhuru vibaya watoto, kwa sababu hizi kampuni
zinamarket muziki wao kwa watoto, na wote manajua hili. Mimi nina watoto
pia, man.
Sijaribu kupambana na mtoto wangu
mwenyewe kwa sababu amekuwa influenced na big booty. Nilifanya ‘106
& Park siku moja, na nilisikitika sana kuona hawa wasichana wadogo
wakitema mashairi na mambo mengine yaliyokuwa yanawatoka mdomoni na
walikuwa na umri wa mika 13 na 14, na walikuwa wanaongea haya yote! I
was like, ‘God d*mn,yo, nani anaehusika katika haya yote?..sio kwamba
namnyooshea kidole Rick Ross na 2 Chainz na watu wao, kwa sababu kila
mtu anafanya hivi.”
Alifunguka Saigon na kumaliza na msemo
unaoweza kueleweka kwa haraka haraka kuwa ‘waweke watu wote wanaofanya
hivyo na uwachane wote bila kuchagua’... ‘Put them all on a dart board
and throw the dart’.
Mwezi may Saigon aliwahi kutoa maneno
kama haya na akawachana Rick Ross na Big Sean, kwa kufanya ngoma ambazo
zinaharibu maadili ya jamii, na kusapoti uhalifu kama uuzaji wa madawa
ya kulevya. Ngoja tuiweke kwa ‘kidhungu’ ili ifike kama ilivyotoka
kinywani kwa Saigon.
“You can put all this sh*t on your site
because I don't give a f*ck. I don't give a f*ck because at this point,
I've made up my mind. I made up my mind that I'm taking a whole
different approach. ... Rick Ross and all these n*ggas rapping about
drug dealing, all the sh*t that f*cks up the black community, they're
not gonna be able to make no money. I'm gonna shut all their money
down.
Why ya'll supportin' a n*gga that
promotes the destruction of our community? Why are you doin' that? Why
would you let this n*gga thrive and we don't know where our next jobs
are coming from? He's rapping about selling kilos of cocaine and selling
drugs. This is what he's about, this whole lifestyle saying he's so
rich and he eats shrimp every night, and ya'll support this sh*t? and
ya'll broke and poor and your family's about to get kicked out. That's
our hit son! That's his hit. Nobody knows the words to this song, all
they know is "ass, ass, ass, ass, ass, ass, ass" [background noises]. We
don't care about "ass, ass, ass, ass," but this is the society we
livin' in right now. So it's like alright”.
OFFER!! OFFER!! OFFER!!!
8:09 AM
•
...The greatest offer ever to be given in a Nairobi Club is being given TONIGHT & every WEDNESDAY. ROCKSTEADY WEDNESDAYS Happening @ DEEP WEST off Lang'ata Road next to T-mall,Tuskys. Featuring Supremacy Sounds all stars Entrance is 150/= & you get 2 BEERS FOR FREE.... YES 2 BEERS FOR FREE upon entry..... Do I have to say more??? Miss it & you'll regret.
NEW TRACK: STAMINA - MORO MORO
7:57 AM
•
Baada ya Mwanza Mwanza ya Fid Q Stamina
nae aamua kuachia Moro Moro ikiwa ni moja ya muonekano wa msanii huyu
kuyakubali au kuzikubali kazi za Fid Q ambaye amekuwa kipenzi cha
wasanii wengi wa Hip Hop kibongo bongo na hata wale wanaofanya muziki wa
kuimba..
Saluti kwako Ngosha kwa kukubalika Home bila ya fitina zozote toka kwa wasanii
Rihanna atangaza nchi saba atakazopiga tour yake ‘777’
7:48 AM
•
The Diamond hit maker ametangaza rasmi
ratiba ya tour yake iliyokuwa inasubiriwa sana na fans wa nchi kibao
ikiwa na title ‘777’ ikiwa na maana ya nchi saba, siku saba na show saba
atakazopiga.
Rihanna anatarajia kuzunguka na jet
maalum kwa siku zote saba na anatarajia kuambatana na group la watu 150
ambao ni waandishi wa habari na fan club members ambao watazunguka nae
katika nchi zote saba.
RiRi mwenyewe alifunguka, “I am so
excited about the 777.” Mrembo huyo mwenye miaka 24 aliendelea kuonesha
furaha yake kuhusu 777 tour, “tunaibadili hii Jumbo Jet kuwa bus letu la
tour. Tutaishi ndani ya hiki kitu kwa wiki: kulala, kuparty, vyote kwa
pamoja. Mimi, fans wangu, waandishi wa habari...it is going to be a wild
ride.” Rihanna anasema anataka kuwa rock and roll adventure katika tour
hiyo.
The R&B Diva alionekana kuipania
sana tour hiyo kiasi cha kuwafanya fans waombe majina la nchi zao yawe
kwenye hiyo list ya nchi saba, “nadhani ni kitu poa zaidi ya kitu
chochote nichowahi kufanya. I’m that excited about it,” alisema
Rihanna.
Wakati Rihanna anajiandaa na tour hiyo,
album yake ya saba ‘Unapologetic’ inasubiri kuachiwa officially November
19. Ikiwa na ngoma yake ya kwanza aliyoiachia ‘Diamonds’ na ‘Stay’
aliyoiachia hivi karibuni.
Hii ndiyo ratiba ya ‘777’ tour ya Rihanna kwenye nchi saba
kwa siku saba na show saba:
• November
14 in Mexico City
• November
15 in Toronto
• November
16 in Stockholm
• November
17 in Paris
• November
18 in Berlin
• November
19, Worldwide Album Release Date, in London
• November
20 in New York City
HAPPY BIRHTDAY BOMBA FM RADIO ZANZIBAR
7:13 AM
•
UONGOZI NA WATANGAZAJI WA BOMBA FM UNAWAKARIBISHA WOTE KUJA KUSHEREHEKEA MIAKA 5 BOMBA FM KWA BONANZA LA MICHEZO MBALIMBALI ITAKAYO HUSISHA MAPENZI NA WAFANYAKAZI WOTE WA BOMBA FM RADIO KWENYE UWANJA WA MAO BAADA YA HAPO BURUDANI ZINA HAMIA PALE NGOME KONGWE KUANZIA SAA MOJA JIONI. NA KUENDELEA KATIKA USIKU HUO UTAPATA BURUDANI TOKA KWA QUEEN DARLIN, ALLY KIBA, SMILE WA KICHEFUCHEFU, MOMBA, ABBY SKILS, BOB JUNIOR, DOGO AMIRY BERRY BLACK, SULTAN KING, BABY J, MAN TUZZO T,GWAY, FAN KISS, WARDA BABY, SIDE 2THELEE, ALONEYM, DOGO FANI, PIA UTAPATA NAFASI YA KU SHOW LOVE NA PRESENTERS WOTE WA BOMBA FM RADIO WAZAMANI NA SASA,
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)